Upanga Magharibi ni kata ya Wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 11103.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 11,845 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ya Upanga Magharibi ilikuwa na wakazi wapatao 9,259 waishio humo [2].

Kata ya Upanga magharibi, kiutawala, ina mitaa mitatu:

  • Mtaa wa Charambe ambao ndipo ilipo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
  • Mtaa wa Mfaume ambao ndipo ilipo ofisi ya makao makuu ya SIDO Tanzania
  • Mtaa wa Fire ambao ndipo kituo kikubwa cha Idara ya Zimamoto.

Marejeo hariri

  1. https://www.nbs.go.tz/
  2. "2002 Population and Housing Census General Report" (kwa Kiingereza). Government of Tanzania. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-02-10. Iliwekwa mnamo 2008-08-21. 
  Kata za Wilaya ya Ilala - Tanzania  

Bonyokwa | Buguruni | Buyuni | Chanika | Gerezani | Gongolamboto | Ilala | Jangwani | Kariakoo | Kimanga | Kinyerezi | Kipawa | Kipunguni | Kisukuru | Kisutu | Kitunda | Kivukoni | Kivule | Kiwalani | Liwiti | Majohe | Mchafukoge | Mchikichini | Minazi Mirefu | Mnyamani | Msongola | Mzinga | Pugu | Pugu Station | Segerea | Tabata | Ukonga | Upanga Magharibi | Upanga Mashariki | Vingunguti | Zingiziwa