Buguruni
Buguruni ni kata ya wilaya ya Ilala katika mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania yenye postikodi namba 12102.
Kata ya Buguruni | |
Mahali pa Buguruni katika Tanzania |
|
Majiranukta: 6°49′26″S 39°14′56″E / 6.82389°S 39.24889°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Dar es Salaam |
Wilaya | Ilala |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 67,028 |
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 67,028 waishio humo.[1]
Maendeleo ya BuguruniEdit
Buguruni ni kata yenye maendeleo. Baadhi ya maendeleo yaliyomo ndani ya kata ya Buguruni ni:
• Soko la Buguruni
• Hospitali ya Buguruni
• Kituo cha Polisi cha Buguruni
• Njia za usafiri
MarejeoEdit
- ↑ 2002 Population and Housing Census General Report (en). Government of Tanzania. Jalada kutoka ya awali juu ya 2010-02-10. Iliwekwa mnamo 2008-08-21.
- ↑ https://www.youtube.com/watch?v=-e5Sw0U2o4w
Makala hii kuhusu maeneo ya Dar es Salaam bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Buguruni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |
Kata za Wilaya ya Ilala - Tanzania | ||
---|---|---|
Buguruni •Chanika • Gerezani • Gongo la Mboto • Ilala • Jangwani • Kariakoo • Kimanga • Kinyerezi • Kipawa • Kisutu • Kitunda • Kivukoni • Kiwalani • Majohe • Mchafukoge • Mchikichini • Msongola • Pugu • Segerea • Tabata • Ukonga • Upanga Magharibi • Upanga Mashariki • Vingunguti |