Kivukoni
Kivukoni ni kata mojawapo ya Wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam Tanzania, yenye postikodi namba 11101[1].

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 4,826 waishio humo.[2]
Katika kata hii iko sehemu ya kihistoria ya Dar es Salaam ya zamani za ukoloni, hasa sehemu iliyokuwa ya Ubeberu wakati wa uhuru, pamoja na makanisa ya kihistoria ya kipindi cha mwanzoni mwa umisionari, kama vile kanisa la Mtakatifu Joseph na kanisa la Azania Front.
Marejeo Edit
- ↑ Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2018-08-05. Iliwekwa mnamo 2018-02-01.
- ↑ 2002 Population and Housing Census General Report (en). Government of Tanzania. Jalada kutoka ya awali juu ya 2010-02-10. Iliwekwa mnamo 2008-08-21.
Viungo vya nje Edit
Kata za Wilaya ya Ilala - Tanzania | ||
---|---|---|
Buguruni •Chanika • Gerezani • Gongo la Mboto • Ilala • Jangwani • Kariakoo • Kimanga • Kinyerezi • Kipawa • Kisutu • Kitunda • Kivukoni • Kiwalani • Majohe • Mchafukoge • Mchikichini • Msongola • Pugu • Segerea • Tabata • Ukonga • Upanga Magharibi • Upanga Mashariki • Vingunguti |
Makala hii kuhusu maeneo ya Dar es Salaam bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kivukoni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |