Tabata ni kata ya wilaya ya Ilala katika mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 12103. Kata

Tabata kwenye ramani.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 59,555 [1].

Kata ya Tabata imegawanyika katika maeneo mengi; baadhi ya hayo ni kama: Tabata Bima, Tabata Kimanga, Tabata Shule, Tenge, Tabata, Segerea, Mandela na Msimbazi. Baadaye ikaja kuzaa kata kama Kimanga, Liwiti, Segerea na Kinyerezi.

Tabata Kimanga ni eneo ambalo lina watu wengi, wakiwemo wafanyabiashara, na shule za serikali zipatazo nne ambazo ni: Kimanga, Tumaini, Kisukuru na Makoka. Pia katika sehemu hiyo kuna kituo kikubwa kimoja (stendi ya daladala).

Marejeo hariri

  Kata za Wilaya ya Ilala - Tanzania  

Bonyokwa | Buguruni | Buyuni | Chanika | Gerezani | Gongolamboto | Ilala | Jangwani | Kariakoo | Kimanga | Kinyerezi | Kipawa | Kipunguni | Kisukuru | Kisutu | Kitunda | Kivukoni | Kivule | Kiwalani | Liwiti | Majohe | Mchafukoge | Mchikichini | Minazi Mirefu | Mnyamani | Msongola | Mzinga | Pugu | Pugu Station | Segerea | Tabata | Ukonga | Upanga Magharibi | Upanga Mashariki | Vingunguti | Zingiziwa