Yohane wa Brebeuf, S.J. (Condé-sur-Vire, Normandy, Ufaransa 25 Machi 1593 – karibu na Midland, Ontario, Kanada, 16 Machi 1649) alikuwa padri wa Wajesuiti mmisionari kwa Wahuroni wa Amerika Kaskazini tangu mwaka 1625 (isipokuwa 1629-1633)[1].

Mt. Yohane alivyochorwa.
Wajesuiti wafiadini wa Amerika Kaskazini.

Alikamatwa pamoja na Waindio hao, akateswa akauawa na Wairoki, kabila lingine la Waindio.

Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenye heri tarehe 21 Juni 1925, na kuwa mtakatifu tarehe 29 Juni 1930[2].

Sikukuu ya kundi lake la wafiadini huadhimishwa tarehe 19 Oktoba, lakini ya kwake mwenyewe huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.