Eneo bunge la Ol Kalou
(Elekezwa kutoka Eneo Bunge la Ol Kalou)
Eneo bunge la Ol Kalou ni eneo bunge la uchaguzi nchini Kenya. Ni mojawapo wa maeneo bunge matano katika Kaunti ya Nyandarua.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Nchi zingine · Atlasi |
Eneo bunge hili lilianzishwa kwa ajili ya uchaguzi wa 1988.
Wabunge hariri
Mwaka wa Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1997 | Karue Muriuki | DP | |
2002 | Karue Muriuki | NARC | |
2007 | Erastus Kihara Mureithi | PNU |
Wadi hariri
Wadi | ||
Wadi | Wapiga kura waliosajiliwa | Mamlaka ya Mtaa |
---|---|---|
Gichungo | 3,275 | Mji wa Ol Kalou |
Kaimbaga | 2,576 | Mji wa Ol Kalou |
Olkalou | 7,732 | Mji wa Ol Kalou |
Olkalou Central | 5,380 | Mji wa Ol Kalou |
Rurii | 3,867 | Mji wa Ol Kalou |
Dundori | 12,052 | Baraza la Mji wa Nyandarua |
Gathanji | 10,440 | Baraza la Mji wa Nyandarua |
Gatimu | 5,965 | Baraza la Mji wa Nyandarua |
Kanjuiri Ridge | 7,942 | Baraza la Mji wa Nyandarua |
Ol Joro Orok / Kasuku | 12,387 | Baraza la Mji wa Nyandarua |
Jumla | 71,616 | |
*Septemba 2005 | [2] |
Marejeo hariri
- ↑ Center for Multiparty Democracy:Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007 Archived 28 Februari 2008 at the Wayback Machine.
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Eneo bunge la Ol Kalou kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |