Eneo bunge la Butula

Eneo bunge la Butula ni mojawapo ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili hupatikana katika kaunti ya Busia, magharibi mwa Kenya, miongoni mwa majimbo saba katika kaunti hiyo.

Lina wodi nne ambazo huwachagua madiwani kwa baraza la Busia County.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Historia hariri

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi mkuu wa 1997.

Wabunge hariri

Uchaguzi MP [1] Chama Vidokezo
1997 Yekoyada F. O. Masakhalia KANU
2002 Christine Abungu Mango NARC
2007 Alfred Odhiambo ODM

Wodi hariri

Wodi
Wodi Wapiga Kura Wliojisajili
Marachi Central 9,245
Marachi East 8,671
Marachi North 9,762
Marachi West 7,951
Jumla 35,629
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia hariri

Marejeo hariri