Eneo bunge la Maragua


Eneo bunge la Maragua ni eneo bunge la uchaguzi nchini Kenya. Ni mojawapo wa maeneo bunge saba katika Kaunti ya Murang'a.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge hili lilianzishwa kwa ajili ya uchaguzi wa 1988.

Wabunge hariri

Mwaka wa Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1997 Peter Kamande Mwangi Democratic Party (DP)
2002 Elias Mbau NARC
2007 Elias Mbau PNU

Wadi hariri

'
Wadi Wapiga kura waliosajiliwa Mamlaka ya Mtaa
Gakoigo 4,479 Mji wa Maragua
Ichagaki 4,480 Mji wa Maragua
Mbugua 2,106 Mji wa Maragua
Samar 1,626 Mji wa Maragua
Kambiti 4,632 Mji wa Makuyu
Kirimiri 4,167 Mji wa Makuyu
Makuyu 9,497 Mji wa Makuyu
Wempa 3,408 Mji wa Makuyu
Kamahuha / Maranjau 10,113 Baraza la Mji wa Maragua
Maragua Ridge 2,516 Baraza la Mji wa Maragua
Nginda 7,871 Baraza la Mji wa Maragua
Jumla 54,895
*Septemba 2005| [2]

Marejeo hariri

  1. Center for Multiparty Democracy: Politics and Paliamenterians in Kenya 1944-2007 Archived 28 Februari 2008 at the Wayback Machine.
  2. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency Archived 29 Septemba 2007 at the Wayback Machine.