Eneo bunge la Lurambi

Eneo bunge la Lurambi ni mojawapo ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili ni moja kati ya majimbo kumi na mawili katika Kaunti ya Kakamega, Magharibi mwa nchi.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Historia hariri

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1963.

Wabunge hariri

Uchaguzi Mbunge[1] Chama Vidokezo
1963 Jonathan Welangai Masinde KADU
1969 Jonathan Welangai Masinde KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1974 Shadrack N. Kova KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1983 Shadrack N. Kova KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1988 Wasike Ndombi KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Jawan Ambululi Ommani KANU
1997 Newton Wanjala Kulundu Ford-K
2002 Newton Wanjala Kulundu NARC
2007 Atanas Keya ODM

Wodi hariri

Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliojiandikisha Utawala wa Mitaa
Amalemba 3,522 Munisipali ya Kakamega
Bukhulunya 2,223 Munisipali ya Kakamega
Central 10,147 Munisipali ya Kakamega
Mahiakalo 3,217 Munisipali ya Kakamega
Maraba 2,057 Munisipali ya Kakamega
Matende 2,502 Munisipali ya Kakamega
Milimani 2,044 Munisipali ya Kakamega
Musaa 2,126 Munisipali ya Kakamega
Shibiriri 2,731 Munisipali ya Kakamega
Sichilayi 3,820 Munisipali ya Kakamega
Bukura 6,369 Kakamega County
Bunyala West 9,509 Kakamega County
Navakholo 15,555 Kakamega County
North Butsotso 13,324 Kakamega County
South Butsotso 12,347 Kakamega County
Jumla 91,493
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia hariri

Marejeo hariri