Karitoni na wenzake
(Elekezwa kutoka Karitoni, Karito na wenzao)
Karitoni na wenzake Karito, Evelpisto, Gerasi, Peoni na Liberiani (walifariki Roma, Italia, kati ya 162 na 168) walikuwa wanafunzi sita wa Yustino ambao waliuawa pamoja naye kwa kukatwa kichwa katika dhuluma ya Dola la Roma[1][2].
Hati za mateso yao zimetunzwa hadi leo[3].
Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ https://catholicsaints.info/saint-caritone-of-rome/
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/55505
- ↑ Acta S. Iustini et sociorum
- ↑ Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |