Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

Ukurasa wa mtumiaji hariri

Hongera kwa hamasa kubwa ya uchangiaji katika mradi wa wikipedia.
unaweza kuanzisha makala ya Mtumiaji, na kuweka chochote unachopenda kikuelezee. Fuata kiungo hapa chini
Kiungo

Czeus25 Masele (majadiliano) 14:00, 31 Julai 2020 (UTC)Reply

Habari Godson, asante kwa kuchangia! Naona katika fomati kuna mawili matatu madogo yanayohitaji kuboreshwa. Angalia mabadiliko niliyofanya katika makala Wanja Moria pamoja na Wikipedia:Mwongozo_(Muundo) (kutaja lemma kwa herufi koze mwanzoni) na Wikipedia:Mwongozo_(Viungo_vya_Wikipedia) (kuamulia mahapi pa tanbihi kwa msimbo wa {{marejeo}}. 12:13, 10 Oktoba 2020 (UTC) Kipala (majadiliano) 20:20, 4 Novemba 2020 (UTC)Reply

Salzburg hariri

Hello Bro,

I am learning Kiswahili right now, but I am in a starter level. I think it is great that Wikipedia is also avalible in Kiswahili language! I want to help Wikipedia in Kiswahili language, I have worked on the article of the City Salzburg, but my Kiswahili is still in starter level, but I know Salzburg very well. Would you like to create this article together with me? Just to check the grammar I wrote and so on?

Regards,

Alex 84.174.183.93 03:38, 28 Novemba 2020 (UTC)Reply

Please hariri

Thank you for being interested in helping our Wikipedia, but sometimes your contribution are not so well! Please, don't delete the red brackets , for they are usefully there in order to invite us to create new pages! Peace to you! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 05:22, 4 Julai 2021 (UTC)Reply

Usiendelee kutunga makala, sahihisha kwanza!!! hariri

Habari asante kwa michango yako lakini kuna kasoro nzito hasa upande wa marejeo (footnotes / references)

  1. Makala mengine hujaweka chanzo chochote. Hii ni pia sababu ya kufuta makala yako. (mfano Everton F.C., Blackburn Rovers F.C., Blackburn Rovers F.C., Mnara wa taa wa Ponta do Barril, )
  2. ukiona tatizo makala za enwiki hutumia marejeo tata ambayo hayaleti matokea hapa swwiki, angalia ukurasa wa Wikipedia:Mwongozo (Kutaja vyanzo), sehemu kuhusu marejeo tata ufuate maelezo, karibu kuuliza maswali!
  3. Naomba uthibitishe umesoma na kuelewa ninachoandika. Halafu nenda usahihishe, usiendelee kutunga makala mapya kabla ya kusahihisha! Kipala (majadiliano) 17:39, 4 Julai 2021 (UTC)Reply
Basi naona kasoro hazikuwa zako, uliongeza picha. asante. Ila ukiona makala yasiyo na marejeo au lugha isiyoeleweka, tafadhali uongeze juu ya makala alama za {{vyanzo}} au {{lugha}}. Au ingiza marejeo (tazama juu). Kipala (majadiliano) 21:06, 4 Julai 2021 (UTC)Reply

Department hariri

If you write about French departments, idara is not the correct word, but wilaya. Please, correct your contributions. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 15:06, 6 Julai 2021 (UTC)Reply


Biashara ya Watoto hariri

Mambo vipi, katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Biashara_haramu_ya_watoto umeweka picha ambayo inaonyesha kifaa cha kufungia wafungwa lakini kikiwa na maelezo ya kuwa ni kifaa kinachotumika kuwafungia watoto ikiwa ni katika biashara ya usafirishaji watoto, na mashaka na picha hiyo kama inaendana moja kwa moja na makala hiyo, kwa sababu kifaa hicho hutumika kuwafungia wafungwa, Amani sana Idd ninga (majadiliano)

Nimeondoa picha hiyo iliyokuwa alama ya jamii "Biashara ya watumwa" (na hakika vifaa hivi vya kihistoria havitumiwi kushika watoto leo), nimeweka picha kutoka makala husika ya enwiki. Kipala (majadiliano) 12:46, 15 Julai 2021 (UTC)Reply

Usitafute picha kutoka Commons hariri

Ndugu, nasikia ninyi wa Arusha mmeshaambiwa kwamba msitafute tena picha kwenye commons, mchukue kutoka enwiki (au mkipata kitu itwiki, frwiki, dewiki). Kama hamna - basi mwuache. Tunaona picha baya nyingi mno zinazotafutwa kwa njia hiyo. Mfano ukiweka picha ya mchezaji fulani tu kwa sababu hujapata picha inayolingana na ligi Serie A. Picha zina kusudi, kuweka picha ovyo haisaidii. Naomba uitikie!Kipala (majadiliano)

Tafsiri ya Kompyuta hariri

Katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Henry_Pope umeweka picha ya mtu ambae ndani ya makala hiyo jina lake linaonyesha bado halijaandikiwa hata makala, ila siyo mbaya sana, lakini tatizo linakuja pale unapotumia tafsiri ya kompyuta katika makala, katika jina la picha hiyo kuna kila dalili ya kuwa tafsiri ya kompyuta imetumika, mfano neno MKUTANO WA KUZUKA lina maana gani,si vyema kutumi mashine katika kutafsiri, pia angalia sana suala la picha, liendane na makal yako, Amani sana Idd ninga (majadiliano)

Tafsiri na Jamii hariri

Salamu, katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Roy_Mugerwa ,Kiswahili kilichotumika kina dalili ya kutungwa kwa kutumia tafsiri ya kompyuta na hivyo kufanya makala kuwa haieleweki, ni vyema kuiboresha zaidi na kuipitia kwanza kabla ya kuendelea na makala nyingine, pia ni vyema kuweka jamii ambazo tayari zipo kuliko kuweka jamii nyingi katika makala na wakati jamii hizo zote hazipo na nyingine hazina mahusiano kabisa na makala, Amani sana Idd ninga (majadiliano)

Ndugu Godson,umeambiwa kitambo kwamba makala hiyo ina kasoro kwa sababu ulitumia programu ya kutafsiri bila kusoma makini ulichopata lakini hujasahihisha wala kujibu. Umeambiwa huko juu kwamba ni marufuku kumwaga matini kutoka programu hizo hapa kwa sababu kwa njia hii unaleta lugha isiyoeleweka na kusababisha kazi nyingi kwa wengine wanaojitahidi kusafisha kasoro zako. Mfano: "Kazi ya Dkt Mugerwa ingeondoa zuio la moyo baada ya ugunduzi wa VVU / UKIMWI kuwapo nchini Uganda" - sasa je "zuio la moyo" ni kitu gani??? (umekosa maana ya sentensi ya Kiingereza kabisa!) - tena hujajibu hapa ambayo si tabia nzuri. Ilhali naangalia sasa hivi makala nyingine uliyoleta(hapa, nimesahihisha), tena bila kuangalia vema ulichomwaga, ninakuonya sasa. Ninakuzuia leo kwa siku moja tu. Unaweza kujibu hapa lakini huwezi kuhariri kurasa nyingine. Unaombwa kueleza jinsi unavyotakla kuendelea. Naona huna nia mbaya, pia unaleta makala za maana lakini hatuwezi kukubali mtindo wa kumwaga google translate bila kujali matokeo. Naombe ujieleze! Kipala (majadiliano) 10:13, 7 Agosti 2021 (UTC)Reply

Kuzuiwa hariri

Excuse me, I had to stop you because you don't hear us. Please, read well what we have written here. If you dont'understand English too, let you contact Kipala who is German. Peace to you! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 11:16, 11 Agosti 2021 (UTC)Reply