Papa Simako

(Elekezwa kutoka Papa Symmachus)

Papa Simako (kwa Kilatini: Symmachus) alikuwa Papa kuanzia tarehe 22 Novemba 498 hadi kifo chake tarehe 19 Julai 514[1]. Alitokea Sardinia, Italia[2] akaja kubatizwa Roma.

Mozaiki ya Papa Simako.

Alimfuata Papa Anastasio II akafuatwa na Papa Hormisdas.

Kwa muda mrefu alipaswa kukabili upinzani mkali wa antipapa Laurentius[3][4][5] na wafuasi wake wengi[6].

Alikomboa Wakristo waliofanywa watumwa na Wavandali na kusaidia waliokimbia dhuluma yao.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa kwenye tarehe ya kifo chake[7].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  3. Hughes, Philip (1947). A History of the Church 1. Sheed & Ward. uk. 319. Iliwekwa mnamo 21 November 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)
  4. Davis 1989, p. 43f; The original Latin in Mansi 1762, p. 301: quod tandem aequitas in Symmacho invenit, et cognitio veritatis
  5. Despite Laurentius being classed as an antipope, it is his portrait that continues to hang in the papal gallery in the Church of St. Paul's, not that of Symmachus.
  6. https://www.santiebeati.it/dettaglio/91644
  7. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Simako kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.