Sturmi wa Fulda
Sturmi wa Fulda (Lorch, Austria, 705 hivi - Fulda, Ujerumani, 17 Desemba 779) alikuwa mmonaki Mbenedikto ambaye, baada ya kipindi cha umisionari na upadrisho, alitumwa na askofu Bonifas mfiadini kuanzisha monasteri ya Fulda (744/747), akawa abati wake wa kwanza hadi kifo chake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na wengineo kama mtakatifu. Mwaka 1139 Papa Inosenti II alithibitisha heshima hiyo.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- (Kijerumani) Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon (BBKL) Band I (1990) Spalte 1479 Autor: Friedrich Wilhelm Bautz Egil
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |