Ursula Ledochowska

Ursula Ledochowska (jina la kitawa: Ursula wa Yesu; Loosdorf, Melk, Austria ya Chini, 17 Aprili 1865Roma, Italia, 29 Mei 1939) alikuwa mtawa wa Polandi, mwanzilishi wa shirika la Waursula wa Moyo Mteseka wa Yesu[1][2][3].

Picha yake halisi ya mwaka 1907.

Kwa ajili hiyo alisafiri kwa shida sana katika nchi za Polandi, Skandinavia, Ufini na Urusi.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 20 Juni 1983, akamtangaza mtakatifu tarehe 18 Mei 2003[4].

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka kwenye tarehe ya kifo chake[5].

Shirika lake lilipata kibali cha Papa tarehe 4 Juni 1923. Kufikia mwaka 2005 lilikuwa na masista 832 katika nyumba 98 zikiwemo zile za Tanzania.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Saint Ursule Ledóchowska. Saints SQPN (23 May 2015). Retrieved on 15 April 2017.
  2. A short biography of Saint Ursula Ledóchowska. Prayers4reparation (29 May 2012). Retrieved on 15 April 2017.
  3. May 29: St. Ursula Ledóchowska (1865-1939). Archdiocese of Kota Kinabalu. Retrieved on 15 April 2017.
  4. The first miracle that led to her beatification involved the cure of Jan Kołodziejski on 26 March 1946 while the second miracle leading to beatification involved the cure of the nun (from Ledóchowska's own order) Magdalene Pawlak (in religious "Maria Danuta") on 16 April 1946. The decisive miracle that led to her canonization was the cure of Daniel Gajewski (b. 1982) who avoided electrocution in circumstances where he would otherwise have been killed had it not been for the late nun whom he saw moments before fading into unconsciousness on 2 August 1996.
  5. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.