Yohane Gabrieli Perboyre
Yohane Gabrieli Perboyre, C.M. (Montgesty, Lot, 6 Januari 1802 – Wuchang, Hubei, 11 Septemba 1840) alikuwa padri kutoka Ufaransa aliyefanya umisionari nchini China akauawa huko msalabani kwa ajili ya imani yake ya Kikristo[1].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Leo XIII tarehe 10 Novemba 1889, halafu mtakatifu na Papa Yohane Paulo II tarehe 2 Juni 1996[2].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/76475
- ↑ Miller, Charles Edward (2004). Mass on Sunday: And Other Ways of Being Catholic. Paulist Press. pp. 45–46. ISBN 0-8091-4237-6.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |