1844
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1810 |
Miaka ya 1820 |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840
| Miaka ya 1850
| Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| ►
◄◄ |
◄ |
1840 |
1841 |
1842 |
1843 |
1844
| 1845
| 1846
| 1847
| 1848
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1844 BK (Baada ya Kristo).
MatukioEdit
WaliozaliwaEdit
Kalenda ya Gregori | 2022 MMXXII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5782 – 5783 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2775 |
Kalenda ya Ethiopia | 2014 – 2015 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1471 ԹՎ ՌՆՀԱ |
Kalenda ya Kiislamu | 1444 – 1445 |
Kalenda ya Kiajemi | 1400 – 1401 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2077 – 2078 |
- Shaka Samvat | 1944 – 1945 |
- Kali Yuga | 5123 – 5124 |
Kalenda ya Kichina | 4718 – 4719 辛丑 – 壬寅 |
- 7 Januari - Mtakatifu Bernadeta Soubirous, mtawa wa Kanisa Katoliki kutoka Ufaransa
- 18 Machi - Nikolai Rimsky-Korsakov, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 16 Aprili - Anatole France (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1921)
- 3 Juni - Garret Hobart, Kaimu Rais wa Marekani
- 7 Julai - Camillo Golgi (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1906)
- 12 Agosti - Muhammad Ahmad ibn Abd Allah atakayeitwa Al-Mahdi nchini Sudan
- 17 Agosti - Menelik II, mfalme mkuu wa Uhabeshi
- 23 Oktoba - Sarah Bernhardt, mwigizaji tamthilia kutoka Ufaransa
- 27 Oktoba - Klas Pontus Arnoldson (mwanasiasa Msweden, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1908)
- 25 Novemba - Karl Friedrich Benz (mhandisi Mjerumani na mtengenezaji motokaa)
WaliofarikiEdit
- 27 Juni - Joseph Smith, Mdogo, mwanzilishi wa Umormoni aliuawa
Wikimedia Commons ina media kuhusu: