27 Juni
tarehe
Mei - Juni - Jul | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 27 Juni ni siku ya 178 ya mwaka (ya 179 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 187.
MatukioEdit
WaliozaliwaEdit
- 1869 - Emma Goldman, mwanaharakati wa utawala huria kutoka Urusi na Marekani
- 1869 - Hans Spemann, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1935
- 1880 - Helen Keller, mwandishi asiyeona wala kusikia kutoka nchini Marekani
- 1930 - Ross Perot, mfanyabiashara na mwanasiasa kutoka Marekani
- 1959 - Khadja Nin, mwimbaji kutoka Burundi
WaliofarikiEdit
- 1844 - Joseph Smith, Mdogo, mwanzilishi wa Umormoni aliuawa
- 2005 - George Lilanga, msanii Mmakonde kutoka Tanzania
- 2016 - Bud Spencer, mwigizaji wa filamu kutoka Italia
SikukuuEdit
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Sirili wa Aleksandria, Gudene, Zoilo, Samsoni wa Konstantinopoli, Yohane wa Chinon, Thomas Toan, Magret Bays n.k.
Viungo vya njeEdit
- BBC: On This Day
- Today in Canadian History Archived 17 Novemba 2020 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 27 Juni kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |