Eneo bunge la Webuye
Eneo bunge la Webuye ni mojawapo ya Majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Kaunti ya Bungoma, Magharibi mwa nchini na ni moja kati ya majimbo ya kaunti hiyo.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Nchi zingine · Atlasi |
Historia hariri
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988.
Wabunge hariri
Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1988 | Joash Mang’oli | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1992 | Musikari Kombo | Ford-K | |
1994 | Saulo Wanambisi Busolo | Ford-K | Uchaguzi Mdogo |
1997 | Musikari Kombo | Ford-K | |
2002 | Musikari Kombo | NARC | |
2007 | Alfred Sambu | ODM |
Wodi hariri
Wodi | ||
Wodi | Wapiga Kura Waliojiandikisha | Utawala wa Mitaa |
---|---|---|
Bokoli | 8,354 | Bungoma County |
Chetambe | 11,219 | Bungoma County |
Misikhu | 8,120 | Bungoma County |
Nabuyole | 5,681 | Munisipali ya Webuye |
Ndivisi | 10,319 | Bungoma County |
Sitikho | 7,758 | Bungoma County |
Webuye Central | 2,883 | Munisipali ya Webuye |
Webuye North | 3,847 | Munisipali ya Webuye |
Webuye South | 2,419 | Munisipali ya Webuye |
Webuye West | 2,806 | Munisipali ya Webuye |
Jumla | 63,406 | |
*Septemba 2005 [2].
|
Tazama Pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007 Archived 28 Februari 2008 at the Wayback Machine.
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency