Eulogi wa Aleksandria

Eulogi wa Aleksandria (kwa Kigiriki: Εὐλόγιος I; alifariki 13 Septemba 608) alikuwa Patriarki wa Kigiriki wa Aleksandria (Misri) tangu mwaka 580 hadi 608.

Mchoro mdogo katika Menologion of Basil II

Mwenye asili ya Syria, aliishi huko kama mmonaki padri.

Baada ya kuchaguliwa kuwa Patriarki, kwa elimu yake kubwa alipinga mafundisho ya Wamonofisiti na wengineo[1] akiungana na Papa Gregori I wa Roma [2] ambaye alimuandikia barua nyingi, akisema, "Si mbali nami aliye kitu kimoja nami" [3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake au 13 Februari au 13 Juni[4][5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Besides the above works and a commentary against various sects of Monophysites (Severians, Theodosians, Cainites and Acephali) he left eleven discourses in defence of Pope Leo I and the Council of Chalcedon, also a work against the Agnoetae, submitted by him before publication to Pope Gregory I, who after some observations authorized it unchanged. With exception of one sermon and a few fragments, all the writings of Eulogius have perished.
  2. "Eulogius (581–608)". Official web site of the Greek Orthodox Patriarchate of Alexandria and All Africa. Iliwekwa mnamo 2011-02-07. 
  3. E.g. Gregory the Great. Epistles. VIII.30. Iliwekwa mnamo 27 Oct 2012. 
  4. Martyrologium Romanum
  5. https://catholicsaints.info/saint-eulogius-of-alexandria/

Marejeo hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.