Mkoa wa Kivu Kusini

jimbo la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
(Elekezwa kutoka Kivu Kusini)


Mkoa wa Kivu ya Kusini ni mmoja kati ya mikoa 26 ya kujitawala ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Uko upande wa Mashariki wa nchi ukipakana na nchi ya Tanzania na Ziwa la Tanganyika. Idadi ya wakazi wake ni takriban 2,837,779.

Mkoa wa Kivu Kusini
Sud-Kivu
Mahali paMkoa wa Kivu Kusini Sud-Kivu
Mahali paMkoa wa Kivu Kusini
Sud-Kivu
Mahali pa Mkoa wa Kivu Kusini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Majiranukta: 02°30′S 28°52′E / 2.500°S 28.867°E / -2.500; 28.867
Nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Wilaya 8
Mji mkuu Bukavu
Serikali
 - Gouverneur Célestin Cibalonza Byaterana
Eneo
 - Jumla 65,070 km²
Idadi ya wakazi (1998)
 - Wakazi kwa ujumla 2,837,779

Mji mkuu wake ni Bukavu.

Makabila na lugha hariri

Wakazi wengi wa Mkoa wa Kivu Kusini ni wa kabila la Washi na lugha yao ya kwanza ni Kishi.

Lugha ya taifa inayozungumzwa katika sehemu hiyo ya Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo ni Kiswahili, hasa lahaja ya Kingwana.

Picha za Kivu Kusini hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


  Makala hii kuhusu maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kivu Kusini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.



 
Mikoa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
 
Équateur | Ituri | Kasaï | Kasaï Mashariki | Katanga Juu | Kinshasa | Kivu Kaskazini | Kivu Kusini | Kongo Kati | Kwango | Kwilu | Lomami | Lomami Juu | Lualaba | Lulua | Mai-Ndombe | Maniema | Mongala | Sankuru | Tanganyika | Tshopo | Tshuapa | Ubangi Kaskazini | Ubangi Kusini | Wele Chini | Wele Juu
+/-