Eneo bunge la Bomachoge : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Created page with ''''Jimbo la Uchaguzi la Bomachoge''' ni moja kati ya Majimbo ya Uchaguzi ya Kenya. Jimbo hili linapatikana katika wilaya ya [[Wilaya ya Gucha|Gucha]...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 21:46, 29 Januari 2010
Jimbo la Uchaguzi la Bomachoge ni moja kati ya Majimbo ya Uchaguzi ya Kenya. Jimbo hili linapatikana katika wilaya ya Gucha mkoani Nyanza, miongoni mwa majimbo matatu katika wilaya hii.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Nchi zingine · Atlasi |
Historia
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa 1988.
Wabunge
Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1988 | Zedekiah Mekenye Magara | KANU | Mfumo wa chama Kimoja |
1992 | Ferdinard Ondambu Obure | Ford-K | |
1997 | Zephaniah M. Nyang’wara | Ford-K | |
2002 | Joel Onyancha | Ford-People | |
2007 | Joel Onyancha | Ford-People | Kiti hiki kilitangazwa wazi mnamo Desemba 2008 kutokana na madai ya udanganyifu katika uchaguzi wa 2007 [2] |
2009 | Simon Ogari | ODM | Uchaguzi Mdogo [3] |
Wodi
Wodi | ||
Wodi | Wapoga Kura waliojisajili | Utawala wa Mitaa |
---|---|---|
Central | 2,509 | Ogembo (Mji) |
Egetuki | 4,148 | Ogembo (Mji) |
Getare | 2,017 | Ogembo (Mji) |
Tendere | 4,113 | Ogembo (Mji) |
Magena | 10,828 | Gucha county |
Magenche | 10,309 | Gucha county |
Majoge Masaba | 9,670 | Gucha county |
Misesi | 4,334 | Gucha county |
Sengera | 9,953 | Gucha county |
Total | 57,881 | |
*Septemba 2005 [4].
|
Tazama Pia
Virejeleo
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Daily Nation, January 28, 2009: Speaker free to declare Bomachoge seat vacant
- ↑ ODM triumphs in Shinyalu, Bomachoge by-elections
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency