Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Jesus
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya · Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Ndugu wa Yesu ni watu wa Israeli wa karne ya 1 wanaotajwa na Agano Jipya, mara nyingi kama wapinzani wa Yesu. Hata hivyo baadaye baadhi yao walishika nafasi muhimu katika Kanisa.

Kati yao wanaotajwa kwa jina ni Yakobo, Yose, Yuda na Simoni (Math 13:55 [1]).

Tangu kale neno "ndugu" limesababisha maswali juu ya uhusiano kati yao na Yesu.

  • Wengine wametafsiri neno hilo kadiri ya maana ya Kigiriki cha Kale, yaani ndugu wanaochanga wazazi, walau mmoja[2].
  • Wengine wametafsiri neno kwa maana yake asili katika lugha ya Kiaramu, iliyokuwa lugha mama ya Yesu na ndugu zake, ambamo neno lina maana pana kama katika Kiswahili[3] . Pia kwa sababu Kigiriki cha wakati wa Yesu kilitumia mara nyingi neno hilo namna hiyo[4][5].

Wakatoliki, Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki na Walutheri wanashika msimamo wa pili pia kwa sababu wanasadiki Ubikira wa kudumu wa Mama wa Yesu, wakimuita Bikira daima.

Tanbihi hariri

  1. Greek New Testament, Sacred texts, Matthew 13:55: "οὐχ οὖτός ἐστιν ὁ τοῦ τέκτονος υἱός; οὐχ ἡ μήτηρ αὐτοῦ λέγεται μαριὰμ καὶ οἱ ἀδελφοὶ αὐτοῦ ἰάκωβος καὶ ἰωσὴφ καὶ σίμων καὶ ἰούδας;"
  2. Segal, Charles (1999), Tragedy and civilization: an interpretation of Sophocles, p. 184, word for ‘brother,’ adelphos, from a- (‘same,’ equivalent to homo-) and delphys (‘womb,’ equivalent to splanchna). 
  3. Giuseppe Ricciotti, Vita di Gesu Cristo, 3rd ed., Arnoldo Mondadori Editore, Milan, 1962: ‘in Hebraic language there is no specific word for our "cousin". Also, in Hebraic Bible the words "brother" and "sister" are frequently used referring to people with very different degree of kinship.’
  4. The International Standard Bible Encyclopedia p281 ed. Geoffrey W. Bromiley
  5. Strong's Greek: 80. ἀδελφός (adelphos) -- a brother. Retrieved 16 July 2020. 

Marejeo hariri

Marejeo mengine hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ndugu wa Yesu kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.