Papa Felix IV
(Elekezwa kutoka Papa Felisi IV)
Papa Felix IV (490 hivi - 20/22 Septemba 530) alikuwa Papa kuanzia tarehe 12 Julai 526 hadi kifo chake[1]. Alitokea Campania, Italia[2]. Baba yake aliitwa Castorius.
Alimfuata Papa Yohane I akafuatwa na Papa Bonifasi II.
Alichaguliwa kwa kumridhisha mfalme Theodoriko Mkuu akaweza kupata kwake fadhili mbalimbali kwa Kanisa Katoliki[3]. Mfalme alipofariki mwaka uleule, Felix aliweza kuendesha Kanisa kwa uhuru zaidi[4].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Maandishi yake hariri
Tanbihi hariri
- ↑ https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
- ↑ https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
- ↑ Kirsch, Johann Peter (1913). "Pope St. Felix IV". Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company.
- ↑ Coulombe, Vicars of Christ: A History of the Popes, MJF Books, p. 93
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
- Kuhusu Papa Felix IV katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki.
- Fontes Latinae de papis usque ad annum 530
- Liber pontificalis
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Felix IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |