Papa Liberius alikuwa Papa kuanzia tarehe 17 Mei 352 hadi kifo chake tarehe 24 Septemba 366[1]. Alitokea Roma, Italia.

Papa Liberius.

Alimfuata Papa Julius I akafuatwa na Papa Damaso I.

Alidhulumiwa na kaisari Konstans II, mtetezi wa Uario.

Liberius ni Papa wa kwanza ambaye haheshimiwi na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Hata hivyo Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki wanampa heshima hiyo.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Agosti[2] au nyingine[3].

Maoni chanya ya Mapapa juu yake hariri

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. "On Monday, August 27, 2012 we celebrate". Online Chapel. Greek Orthodox Archdiocese of America. Iliwekwa mnamo August 14, 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. "Nasie 4 : Lives of Saints : Synaxarium - CopticChurch.net". 
  4. [1] Archived 11 Desemba 2012 at the Wayback Machine.
  5. [2]

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Liberius kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.