Proto na Yasinto
Proto na Yasinto (walifariki 257/259) ni kati ya Wakristo wa Misri waliofia imani yao huko Roma, Italia, katika dhuluma ya kaisari Valerian.
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 11 Septemba[1] au 24 Desemba.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
- "SS. Protus and Hyacinthus, Martyrs", Butler's Lives of the Saints
- Catholic Encyclopedia: Sts. Protus and Hyacinth
- Catholic Culture: Sts. Protus and Hyacinth
- About Blisland in North Cornwall (refers to a church dedicated to these two saints)
- Santi Proto e Giacinto di Roma
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |