Tuamotu
Tuamotu ni funguvisiwa la Polinesia ya Kifaransa. Kiko upande wa kaskazini-mashariki wa kisiwa cha Tahiti. Ni funguvisiwa kubwa kabisa duniani. Mwaka wa 2002, idadi ya watu visiwani imehesabiwa kuwa 15,862. Watu wakaao visiwani kwa Tuamotu huongea Kituamotu na Kitahiti.
Visiwa ndani ya funguvisiwa hariri
Funguvisiwa ya Tuamotu ina makundi manane ya visiwa yafutayo:
Visiwa vya Disappointment hariri
Visiwa vya Duke of Gloucester hariri
Visiwa vya Tuamotu vya Mashariki Mbali hariri
- Fangatau
- Fakahina
- Tatakoto
- Akiaki
- Vahitahi
- Nukutavake
- Vairaatea
- Pinaki
- Reao
- Pukarua
- Vanavana
- Tureia
- Tematangi
- Moruroa
- Fangataufa
Visiwa vya Hao hariri
Visiwa vya Hikueru hariri
Visiwa vya King George hariri
Visiwa vya Palliser hariri
Visiwa vya Raeffsky hariri
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|