Belize ni nchi ya Amerika ya Kati upande wa pwani ya mashariki.

Belize
Bendera
Nembo
Mji mkuu (na mkubwa zaidi){{{mji_mkuu}}}
17°15′ N 88°46′ W
Lugha rasmi{{{lugha_rasmi}}}
Serikali{{{serikali}}}
{{{vyeo_viongozi}}}{{{majina_viongozi}}}
{{{muundo_uhuru}}}{{{tarehe_uhuru}}}
Eneo
 • Eneo la jumla{{{eneo_jumla}}}
 • Maji (%){{{maji}}}
Idadi ya watu
 • Kadirio la 2023{{{watu_kadirio}}}
Pato la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_kwa_mtu}}}
Pato Halisi la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato_halisi}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_halisi_kwa_mtu}}}
Maendeleo ({{{mwaka_maendeleo}}}){{{maendeleo}}}
Fedha{{{fedha}}}
Majira ya saa{{{majira_saa}}}
Muundo wa tareheDD/MM/YYYY

Inapakana na nchi za Mexiko, Guatemala na Honduras.

Makao makuu yako Belmopan, lakini mji mkubwa zaidi ni Belize.

Historia hariri

Hadi mwaka 1973 ilijulikana kama koloni la British Honduras (Honduras ya Kiingereza).

Tangu mwaka 1964 koloni lilikuwa na serikali yake na madaraka ya kujitawala katika mambo ya ndani.

Uhuru kamili ukafuata tarehe 21 Septemba 1981.

Uhusiano na nchi jirani ya Guatemala ulikuwa mgumu kwa miaka mingi kwa sababu serikali ya Guatemala ilidai kuwa Belize ni sehemu yake.

Watu hariri

Ingawa wakazi si wengi, wana asili tofauti sana. Walio wengi ni machotara: kati yao, 52.9% wana damu ya Waindio zaidi, 32% damu ya Kiafrika zaidi. Wanafuata kwa wingi Waindio asili, Wahindi, Wazungu, Wachina n.k.

Lugha rasmi ni Kiingereza, lakini kwa kawaida zinazungumzwa Krioli (62.6%) na Kihispania (30%).

Upande wa dini, 73.8% ni Wakristo (40.1% ni Wakatoliki na 31.8% Waprotestanti wa madhehebu mbalimbali). 15.5% hawana dini yoyote.

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika ya Kati bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Belize kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.