Greenland

(Elekezwa kutoka Grinlandi)

Greenland (kwa Kiswahili Grinilandi pia; kwa Kikalaallisut: Kalaallit Nunaat = Nchi ya Wagreenland) ni nchi ya kujitawala chini ya ufalme wa Denmark lakini haihesabiwi kuwa sehemu ya Denmark yenyewe.

Greenland
Bendera
Nembo
Mji mkuu (na mkubwa zaidi){{{mji_mkuu}}}
64°10′ N 51°43′ W
Lugha rasmi{{{lugha_rasmi}}}
Serikali{{{serikali}}}
{{{vyeo_viongozi}}}{{{majina_viongozi}}}
{{{muundo_uhuru}}}{{{tarehe_uhuru}}}
Eneo
 • Eneo la jumla{{{eneo_jumla}}}
 • Maji (%){{{maji}}}
Idadi ya watu
 • Kadirio la 2023{{{watu_kadirio}}}
Pato la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_kwa_mtu}}}
Pato Halisi la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato_halisi}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_halisi_kwa_mtu}}}
Maendeleo ({{{mwaka_maendeleo}}}){{{maendeleo}}}
Fedha{{{fedha}}}
Majira ya saa{{{majira_saa}}}
Muundo wa tareheDD/MM/YYYY

Eneo la Greenland ni kubwa, lakini idadi ya wakazi ni ndogo sana kwa sababu sehemu kubwa ya nchi (75%) imefunikwa na ganda nene la barafu.

Jina hariri

Jina la Kiswahili limetokana na lile la Kiingereza "Greenland", ambalo ni tafsiri ya jina la Kidenmark "Grønland", linalomaanisha "nchi yenye rangi ya majani mabichi".

Jina hilo Greenland lilitungwa miaka 1000 iliyopita, kwa sababu wakati ule hali ya hewa duniani ilikuwa na joto zaidi, na hapakuwa na barafu nyingi kama leo.

Jiografia hariri

Kijiografia Greenland, kisiwa kikubwa kuliko vyote duniani, ni sehemu ya bamba la Amerika ya Kaskazini lakini kihistoria na kisiasa kwa karne kadhaa imekuwa na uhusiano wa karibu na Skandinavia (Ulaya ya Kaskazini).

Mlima wa juu wa Greenland ni Mlima Gunnbjørn (m 3,694 juu ya UB) katika Watkins Range.

 
Barafuto ya Sermeq Kujatdlek upande wa magharibi wa Greenland.

Mji mkuu ni Godthaab inayoitwa Nuuk (17,000).

Watu hariri

Wananchi wengi (89.5%) ni wakazi asilia wenye asili ya Asia, ingawa wengi wao wana pia damu ya Kizungu kwa asilimia 25. Lugha yao ndiyo lugha rasmi pekee tangu mwaka 2009. 8.6% ni Wazungu wenye asili ya Skandinavia na wanaongea Kidenmark ambacho kinaendelea kutumiwa na wote katika nafasi kadhaa. Wakazi wengi wanaweza kuongea lugha zote mbili.

Upande wa dini, walio wengi ni Wakristo (96.1%), hasa Walutheri (85%).

Greenland inaongoza duniani kwa asilimia ya watu wanaojiua, pamoja na kuwa na idadi kubwa ya walevi.

Marejeo hariri

Marejeo mengine hariri

 
Grønland
  • Bardarson, I. (ed. Jónsson, F.) "Det gamle Grønlands beskrivelse af Ívar Bárðarson (Ivar Bårdssön)", (Copenhagen, 1930).
  • CIA World Factbook, 2000.
  • Conkling, P. W. et al. 2011. The Fate of Greenland: Lessons from Abrupt Climate Change, co-authored with Richard Alley, Wallace Broecker and George Denton, with photographs by Gary Comer, MIT Press, Cambridge, MA.
  • Lund, S. 1959. The Marine Algae of East Greenland. 1. Taxonomical Part. Meddr Gronland. 156(1), pp. 1–245.
  • Lund, S. 1959. The Marine Algae of East Greenland. 11. Geographic Distribution. Meddr Gronland. 156, pp. 1–70.
  • Steffen, Konrad, N. Cullen, and R. Huff (2005). "Climate variability and trends along the western slope of the Greenland Ice Sheet during 1991–2004," Proceedings of the 85th American Meteorological Society Annual Meeting (San Diego).
  • Sowa, F. 2013. Indigenous Peoples and the Institutionalization of the Convention on Biological Diversity in Greenland. In: Arctic Anthropology. 50(1), pp. 72-88.
  • Sowa, F. 2013. Relations of Power & Domination in a World Polity: The Politics of Indigeneity & National Identity in Greenland. In: Heininen, L. Arctic Yearbook 2013. The Arctic of regions vs. the globalized Arctic. Akureyri: Northern Research Forum, pp. 184-198.www.arcticyearbook.com/ay2013 Archived 19 Februari 2015 at the Wayback Machine.
  • Sowa, F. 2014. Greenland. in: Hund, A. Antarctica and the Arctic Circle: A Geographic Encyclopedia of the Earth’s Polar Regions. Santa Barbara, CA: ABC-CLIO, pp. 312-316.

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Taarifa za jumla
Serikali
Ramani
Vyombo vya habari
Biashara
Safari
Mengineyo
  Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.