Jiografia
Jiografia ni somo la Dunia na vipengele vyake, wakazi wake, na maajabu yake.[1]

Neno la Kiswahili jiografia linafuata matamshi ya Kiingereza ya neno la Kigiriki "γεωγραφία", geo-grafia kutoka gê "dunia" na graphein "kuandika". Lina maana ya "kuandika kuhusu Dunia". Neno hili lilianza kutumiwa kwa mara ya kwanza na mwanasayansi Eratosthenes (276-194 KK).
Sehemu za jiografia ni vitu kama mabara, bahari, mito na milima. Wakazi wake ni watu wote na wanyama waishio juu yake. Maajabu yake ni vitu vinavyotokea kama vile maji kujaa na kupwa, upepo, na tetemeko la ardhi.
Nchi za Afrika Edit
Afrika ya Mashariki Edit
- Burundi
- Eritrea
- Jibuti
- Kenya
- Komoro
- Rwanda
- Shelisheli
- Somalia
- Tanzania
- Uganda
- Uhabeshi (Ethiopia)
- Sudan Kusini
Afrika ya Kati Edit
- Gabon
- Guinea ya Ikweta
- Jamhuri ya Afrika ya Kati
- Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
- Jamhuri ya Kongo
- Kamerun
- Sao Tome na Principe
Afrika ya Kaskazini Edit
Afrika ya Kusini Edit
- Angola
- Botswana
- Eswatini
- Lesotho
- Malawi
- Mauritius
- Msumbiji (Mozambiki)
- Namibia
- Afrika Kusini
- Zambia
- Zimbabwe
Afrika ya Magharibi Edit
Nchi za Amerika ya Kaskazini Edit
Nchi za Amerika ya Kati Edit
Nchi za barani Edit
*(Meksiko mara nyingi huhesabiwa katika Amerika ya Kati kwa sababu za kiutamaduni)
Nchi za visiwa vya Karibi Edit
Nchi za Amerika ya Kusini Edit
Nchi za Asia Edit
Asia ya Kati Edit
Asia ya Kaskazini Edit
Asia ya Mashariki Edit
- Uchina (pamoja na Taiwan)
- Japani
- Korea Kaskazini
- Korea Kusini
Asia ya Kusini-Mashariki Edit
- Brunei
- Indonesia
- Kamboja
- Laos
- Malaysia
- Myanmar (zamani iliitwa Burma)
- Philippines
- Singapur
- Thailand (zamani iliitwa Siam)
- Timor Mashariki
- Vietnam
Asia ya Kusini Edit
Asia ya Magharibi Edit
- Armenia
- Azerbaijan
- Georgia
- Irak
- Israel
- Yordani
- Libanon
- Palestina
- Shamu (au: Syria)
- Uajemi (au Iran au Persia)
- Uturuki
Bara Arabu Edit
Nchi za Ulaya Edit
Nchi za Oceania Edit
mfumo wa Jua Edit
Tazama pia Edit
Tanbihi Edit
- ↑ Geography. The American Heritage Dictionary/ of the English Language, Fourth Edition. Houghton Mifflin Company. Iliwekwa mnamo 9 Oktoba 2006.
- ↑ Inatajwa kama "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza "Mercury" linalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili
- ↑ inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica
- ↑ Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn"
- ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn"
- ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius"
Viungo vya nje Edit
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jiografia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |