Jiografia ni somo la Dunia na vipengele vyake, wakazi wake, na maajabu yake.[1]

Ramani ya dunia.

Neno la Kiswahili jiografia linafuata matamshi ya Kiingereza ya neno la Kigiriki "γεωγραφία", geo-grafia kutoka "dunia" na graphein "kuandika". Lina maana ya "kuandika kuhusu Dunia". Neno hili lilianza kutumiwa kwa mara ya kwanza na mwanasayansi Eratosthenes (276-194 KK).

Sehemu za jiografia ni vitu kama mabara, bahari, mito na milima. Wakazi wake ni watu wote na wanyama waishio juu yake. Maajabu yake ni vitu vinavyotokea kama vile maji kujaa na kupwa, upepo, na tetemeko la ardhi.

Nchi za Afrika hariri

Afrika ya Mashariki hariri

Afrika ya Kati hariri

Afrika ya Kaskazini hariri

Afrika ya Kusini hariri

Afrika ya Magharibi hariri

Nchi za Amerika ya Kaskazini hariri

Nchi za Amerika ya Kati hariri

Nchi za barani hariri

*(Meksiko mara nyingi huhesabiwa katika Amerika ya Kati kwa sababu za kiutamaduni)

Nchi za visiwa vya Karibi hariri

Nchi za Amerika ya Kusini hariri

Nchi za Asia hariri

Asia ya Kati hariri

Asia ya Kaskazini hariri

Asia ya Mashariki hariri

Asia ya Kusini-Mashariki hariri

Asia ya Kusini hariri

Asia ya Magharibi hariri

Bara Arabu hariri

Nchi za Ulaya hariri

Nchi za Oceania hariri

mfumo wa Jua hariri

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Geography. The American Heritage Dictionary/ of the English Language, Fourth Edition. Houghton Mifflin Company. Iliwekwa mnamo 9 Oktoba 2006.
  2. Inatajwa kama "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza "Mercury" linalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili
  3. inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica
  4. Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn"
  5. Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn"
  6. Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius"

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jiografia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.