Magdalena Sofia Barat
Magdalena Sofia Barat, R.S.C.J. (Joigny, Burgundy, 12 Desemba 1779 – Paris, 25 Mei 1865) alikuwa mtawa wa Ufaransa, mwanzilishi wa shirika la Moyo Mtakatifu wa Yesu[1][2].
Katika kuliongoza kwa miaka 65 masista walifikia idadi ya 3,500, wakilea wasichana huko Ulaya, Afrika na Amerika.[3]
Papa Pius X alimtangaza mwenye heri tarehe 24 Mei 1908, halafu Papa Pius XI alimtangaza mtakatifu tarehe 24 Mei 1925.
Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka kwenye tarehe ya kifo chake[4].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Baunard, Louis (1892). Histoire de la vénérable mère Madeleine-Sophie Barat : fondatrice de la Société du Sacré-Cur de Jésus. Paris: Ch. Poussielgue.
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/33050
- ↑ "A Brief History of the Society of the Sacred Heart", Society of the Sacred Heart, United States – Canada
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo hariri
- Kilroy RSCJ, Phil, Madeleine Sophie Barat – A Life, Cork University Press, Cork, Ireland, 2000 Archived 30 Mei 2016 at the Wayback Machine.
- Richard, Bernard (23 September 2014). Madeleine-Sophie Barat, une sainte de Joigny (Yonne) et sa communauté dans le monde, les dames du Sacré-Cœur (French). Iliwekwa mnamo 5 November 2016.
Viungo vya nje hariri
- Madeleine Sophie Barat — Catholic Community Forum
- St. Madeleine Sophie Barat — American Catholic
- Sophie-Barat-Schule Hamburg,Germany
- Founder Statue in St Peter's Basilica
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |