Papa Felix I alikuwa Papa kuanzia tarehe 5 Januari 269 hadi kifo chake tarehe 30 Desemba 274[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Papa Felix I

Alimfuata Papa Dionysius akafuatwa na Papa Eutychian.

Alitoa barua muhimu kuhusu umoja wa nafsi ya Kristo na kwa msaada wa kaisari Aureliani alitatua farakano la Antiokia kuhusu Utatu Mtakatifu wa Mungu pekee[3][4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 30 Desemba[5].

Tazama pia hariri

Maandishi yake hariri

Tanbihi hariri

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. Annuario Pontificio 2012 (Libreria Editrice Vaticana 2008 ISBN|978-88-209-8722-0), p. 8*
  3. "St. Felix I". Encyclopædia Britannica Online. http://www.britannica.com/EBchecked/topic/203963/Saint-Felix-I#tab=active~checked%2Citems~checked&title=Saint%20Felix%20I%20--%20Britannica%20Online%20Encyclopedia. Retrieved 20 April 2010.
  4.   Chisholm, Hugh, ed. (1911). "Felix (Popes)". Encyclopædia Britannica (11th ed.). Cambridge University Press.
  5. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Felix I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.