Papa Marselino alikuwa Papa kuanzia tarehe 30 Juni 296 hadi kifo chake tarehe 25 Oktoba 304[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

250pix

Alimfuata Papa Kayo akafuatwa na Papa Marcellus I.

Tangu mwaka 302, Kanisa liliteseka sana chini ya Kaisari Diokletiano, aliyechochewa na kaisari Galerius. Ilisemekana kwamba Marcellinus pia aliyumba kwa muda mfupi, ila Augustino alikanusha taarifa hiyo[2].

Ikiwa Marcellino aliuawa au kufa kwa uzee, hakuna uhakika[3].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[4].

Sikukuu yake kwa Wakatoliki ni 26 Aprili (ingawa hatajwi tena katika Martyrologium Romanum[5]) ila kwa Waorthodoksi ni tarehe 7 Juni.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. 2.0 2.1 Kirsch, Johann Peter. "Pope Saint Marcellinus." The Catholic Encyclopedia Vol. 9. New York: Robert Appleton Company, 1910. 28 September 2017
  3. Kigezo:EB1911
  4. Calendarium Romanum (Libreria Editrice Vaticana 1969), p.121
  5. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo hariri

  • Liber Pontificalis ed. Duchesne, I, 6-7;
  • Giovanni Battista de Rossi, Roma Sotterranea, III, 46 tav. V;
  • Codex Bernensis ed. De Rossi-Duchesne, 129;
  • Karl Joseph von Hefele, Konziliengeschichte, I, 2 Aufl. 143-45;
  • Quentin, Les martyrologes historiques, 103, sq.;
  • Catholic Encyclopedia, Volume IX, New York, 1910, Robert Appleton Company;
  • De Castro, Difesa della causa di S. Marcellino, I, Pont. Rom., Roma, 1819;
  • Rudolph von Langen, Geschichte der römischen Kirche, I, 370-372;
  • Paul Allard, Histoire des persécutions, IV, 376-379;
  • Duchesne, Histoire ancienne de l'Eglise, II, 92 sq.;
  • Marucchi, Il sepolcro del papa Marcellino nel cimitero di Priscilla in Nuovo Bull. di archeol. crist., 1907, 115 sq.
  • Claudio Rendina, I Papi. Storia e segreti, Newton & Compton, Roma, 1983

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Marcellinus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.