Wakuu wa Serikali ya Kenya
Orodha ya wakuu wa serikali ya Kenya
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Nchi zingine · Atlasi |
Muda wa Utawala | Mtawala | Chama cha Kisiasa | Vidokezo | |
---|---|---|---|---|
Enzi ya Kenya | ||||
12 Desemba 1963 hadi 12 Desemba 1964 | Jomo Kenyatta, Waziri Mkuu | KANU | Kuwa Rais | |
Jamhuri ya Kenya | ||||
12 Desemba 1964 hadi 17 Aprili 2008 | Ilibadilishwa na Urais aliyekuwa na mamlaka yote ya nchi. | -- | ||
17 Aprili 2008 hadi sasa | Raila Odinga, Waziri Mkuu | ODM |
Kufuatia makubaliano ya kugawana madaraka mwezi Februari 2008 afisi ya Waziri Mkuu, iliundwa tena mwezi wa Aprili 2008.
Angalia Pia hariri
- Kenya
- Wakuu wa Serikali ya Kenya
- Makamu wa Rais wa Kenya
- Wakoloni wakuu wa Kenya
- orodha ya viongozi