15 Septemba

tarehe
Ago - Septemba - Okt
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30
Kalenda ya Gregori

Tarehe 15 Septemba ni siku ya 258 ya mwaka (ya 259 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 107.

Matukio hariri

Waliozaliwa hariri

Waliofariki hariri

Sikukuu hariri

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya Bikira Maria wa Mateso, na za watakatifu Nikomedi wa Roma, Valeriani wa Tournus, Stratoni, Valeri na wenzao, Niseta Mgoti, Albino wa Lyon, Apro wa Toul, Aikardi wa Jumieges, Emila na Yeremia, Katerina wa Genoa n.k.

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 15 Septemba kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.