Utah ni jimbo la Marekani upande wa magharibi ya nchi. Mji mkuu na mji mkubwa ni Salt Lake City (mji ya ziwa wa chumvi). Imepakana na Idaho, Wyoming, Colorado, Arizona, na Nevada. Jimbo lina wakazi wapatao 2,736,424 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 219,887. Tangu 1896 eneo lilipata hali ya jimbo la kujitawala.

Sehemu ya Jimbo la Utah








Utah

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Salt Lake City
Eneo
 - Jumla 219,887 km²
 - Kavu 212,751 km² 
 - Maji 7,136 km² 
Tovuti:  http://www.utah.gov/

Gavana amekuwa tangu Agosti 2009 Gary Richard Herbert.

Viungo vya Nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

  Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Utah kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.