Gongo la Mboto
Gongo la Mboto ni kata ya wilaya ya Ilala katika jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania.
Gongo la Mboto iko takriban kilomita 17 kutoka kitovu cha jiji kwa kufuata Barabara ya Julius K. Nyerere na kupita Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
Wakati wa sensa ya mwaka 2012 ilikuwa na wakazi 57,312.[1]
Postikodi yake ni namba 12110.
Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala kinapatikana huko.
TanbihiEdit
Kata za Wilaya ya Ilala - Tanzania | ||
---|---|---|
Buguruni •Chanika • Gerezani • Gongo la Mboto • Ilala • Jangwani • Kariakoo • Kimanga • Kinyerezi • Kipawa • Kisutu • Kitunda • Kivukoni • Kiwalani • Majohe • Mchafukoge • Mchikichini • Msongola • Pugu • Segerea • Tabata • Ukonga • Upanga Magharibi • Upanga Mashariki • Vingunguti |
Makala hii kuhusu maeneo ya Dar es Salaam bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Gongo la Mboto kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |