18 Julai

tarehe
(Elekezwa kutoka Julai 18)
Jun - Julai - Ago
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Tarehe 18 Julai ni siku ya 199 ya mwaka (ya 200 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 166.

Matukio hariri

Waliozaliwa hariri

Waliofariki hariri

Sikukuu hariri

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Sinforosa na wenzake, Materno wa Milano, Emiliani wa Silistra, Filastri, Rufilo, Arnulfo wa Metz, Theodosia wa Kostantinopoli, Federiko wa Utrecht, Bruno wa Segni, Simoni wa Lipnica, Dominiko Dinh Dat n.k.

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 18 Julai kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.