Eneo bunge la Mugirango Kaskazini

(Elekezwa kutoka Mugirango Kaskazini)


Eneo bunge la Mugirango Kaskazini ni moja ya Majimbo ya Uchaguzi ya Kenya linalopatikana katika Kaunti ya Nyamira.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Idadi ya Wapiga Kura hariri

Mnamo 1999, Jimbo hili lilikuwa na jumla ya watu 156,344, 89092 kati yao wakiwa wamejiandikisha kupiga kura mnamo 2007.

Historia hariri

Awali, eneo la Mugirango Kaskazini lilikuwa eneo moja kubwa. Mnamo 1966, jimbo hili liligawanya na kuwa Mugirango Magharibi na Mugirango Kaskazini iliyopungua. Jina lake lilibadilishwa mnamo 1974 na kuwa Borabu / Mugirango Kaskazini, ambalo mwishowe lilibadilishwa kuwa Mugirango Kaskazini / Borabu mnamo 1986.

Wilfred Moriasi Ombui[1] alikishinda kiti hiki katika Uchaguzi wa 2007 huku akimshinda mpinzani wake Godfrey Masanya Okeri ambaye ndiye aliyekuwa Mbunge kati ya 2002 na 2007[2].

Wadi za Kupiga Kura hariri

Wodi ziundazo Mugirango Kaskazini ni: Ekerenyo, North Mugirango Chache, Bomwagamo, Kiabonyoru, Kiangeni, Makenene, Nyansiongo na Esise.

Tazama Pia hariri

Marejeo hariri

  1. Maendeleo Afrika,www.afdevinfo.com Archived 13 Desemba 2009 at the Wayback Machine.
  2. Ripoti ya Maendeleo ya Afrika www.afdevinfo.org Archived 3 Julai 2009 at the Wayback Machine.