Ulama (pia: Ulema, kutoka Kiarabu علماء ʿulamāʾ) ni namna ya kutaja wataalamu wa dini katika Uislamu.

Sehemu ya mfululizo wa makala juu ya

Uislamu

Imani na ibada zake

Umoja wa Mungu
Manabii
Misahafu
Malaika
Uteule
Kiyama
Nguzo za Kiislamu
ShahadaSwalaSaumu
HijaZaka

Waislamu muhimu

Muhammad

Abu BakrAli
Ukoo wa Muhammad
Maswahaba wa Muhammad
Mitume na Manabii katika Uislamu

Maandiko na Sheria

Qur'anSunnahHadithihttps://sw.wikipedia.org/w/index.php?search=Ali%20ibn%20Abu%20Talib&title=Maalum%3ATafuta&wprov=acrw1_2
Wasifu wa Muhammad
Sharia
Elimu ya Sheria za KiislamuKalam

Historia ya Uislamu

Historia
SunniShi'aKharijiyaRashidunUkhalifaMaimamu

Tamaduni za Kiislamu

ShuleMadrasa
TauhidiFalsafaMaadili
Sayansi
SanaaUjenziMiji
KalendaSikukuu
Wanawake
ViongoziSiasa
Uchumi
UmmaItikadi mpyaSufii

Tazama pia

Uislamu na dini nyingine
Hofu ya Uislamu

Mamlaka na uwezo wao ni tofauti katika jamii za Kiislamu kufuatana na mapokeo tofauti. Katika madhehebu ya Shia wana athira kubwa zaidi.

Kati ya Waislamu ulema huulizwa kuhusu uelewano wa sharia na vipengele vingine vya imani.

Neno "ulama" latokana katika lugha ya Kiarabu na hapa ni wingi wa aalim (ar. عالِم) inayomaanisha "mtu mwenye elimu, mtaalamu". Neno hili linaweza kutaja wataalamu wa kila fani lakini inamaanisha hasa wataalamu wa dini[1].

Matawi ya elimu hariri

Kimapokeo ulema hujifunza Quran, tafsir (namna ya kuelewa Qurani), Sunnah na ahadith, shariah (kanuni za imani), fiqh (namna ya kutumia sharia) na kalam (theolojia au mafundisho kuhusu imani).

Marejeo hariri

  1. Ulema, makala katika Encyclopaedia of Islam, Second Edition, iliangaliwa kupitia brillonline.com, Mei 2018
  Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.