Afrika ya Magharibi

Eneo la magharibi kabisa la bara la Afrika

Afrika ya Magharibi ni ukanda wa magharibi kwenye bara la Afrika.

Afrika ya Maghribi (Kanda ya UM); Maghrib

Kwa kawaida huhesabiwa humo nchi zilizo kati ya jangwa la Sahara na Bahari ya Atlantiki. Upande wa mashariki ukanda huu unaishia kwenye mstari kati ya mlima Kamerun na ziwa Chad.

Katika lugha ya Kiarabu nchi za Afrika ya kaskazini-magharibi zinaitwa "Maghrib" yaani "Magharibi" lakini ni sehemu ya ukanda wa Afrika ya Kaskazini.

Ukanda wa Afrika ya Kakazini ya UM una nchi 16 zifuatazo pamoja na visiwa vya Kiingereza vya Saint Helena:

Flag of Benin.svg
Benin
Porto-Novo
Flag of Burkina Faso.svg
Burkina Faso
Ouagadougou
Flag of Cape Verde.svg
Cabo Verde
Praia
Flag of Côte d'Ivoire.svg
Côte d'Ivoire
Abidjan, Yamoussoukro
Flag of The Gambia.svg
Gambia
Banjul
Flag of Ghana.svg
Ghana
Accra
Flag of Guinea.svg
Guinea
Conakry
Flag of Guinea-Bissau.svg
Guinea-Bissau
Bissau
Flag of Liberia.svg
Liberia
Monrovia
Flag of Mali.svg
Mali
Bamako
Flag of Mauritania (1959–2017).svg
Mauritania
Nouakchott
Flag of Niger.svg
Niger
Niamey
Flag of Nigeria.svg
Nigeria
Abuja
Flag of Senegal.svg
Senegal
Dakar
Flag of Sierra Leone.svg
Sierra Leone
Freetown
Flag of Togo.svg
Togo
Lomé