Guinea

nchi huru katika Afrika Magharibi


Guinea (pia: Gine, Gini) ni nchi katika Afrika ya Magharibi. Pengine inatajwa kama Guinea-Conakry ili kuitofautisha na nchi za Guinea-Bissau na Guinea ya Ikweta.

République de Guinée
Jamhuri ya Guinea
Bendera ya Guinea Nembo ya Guinea
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Travail, Justice, Solidarité
(Kifaransa: Kazi, Haki, Kushikamana)
Wimbo wa taifa: Liberté (Uhuru)
Lokeshen ya Guinea
Mji mkuu Conakry
9°30′ N 13°43′ W
Mji mkubwa nchini Conakry
Lugha rasmi Kifaransa (rasmi), Pulaar, Kissi, Kpelle, Kimaninka, Kisusu, Kitoma
Serikali Jamhuri
Mamady Doumbouya
Mohamed Béavogui
Uhuru
kutoka Ufaransa
2 Oktoba 1958
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
245,836 km² (ya 78)
kidogo sana
Idadi ya watu
 - 2021 kadirio
 - 2018 sensa
 - Msongamano wa watu
 
13,885,724 (ya 83)
12,414,293
40.9/km² (ya 133)
Fedha Guinean franc (GNF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC0)
(UTC)
Intaneti TLD .gn
Kodi ya simu +224

-


Imepakana na Guinea-Bisau, Senegal na Mali upande wa kaskazini, Côte d'Ivoire, Liberia na Sierra Leone kusini halafu Bahari Atlantiki upande wa magharibi.

Eneo lake ni chanzo ya mito mikubwa ya Niger, Senegal na Gambia.

JinaEdit

Jina la "Guinea" liliwahi kutaja sehemu kubwa ya Afrika ya Magharibi kati ya jangwa la Sahara na Ghuba ya Guinea ya Atlantiki likimaanisha "nchi ya watu weusi" kwa lugha ya Kiberberi.

WatuEdit

Makabila yaliyopo nchini ni 24. Kubwa zaidi ni lile la Wafulani (40%).

Lugha rasmi ni Kifaransa, lakini wakazi wanatumia zaidi lugha asilia kadiri ya makabila, hasa Kipular, Kimaninka, Kisusu, Kikisi, Kikpelle na Kiloma,

Upande wa dini, 85% ni Waislamu (hasa Wasuni), 8% ni Wakristo (hasa Wakatoliki) na 7% ni wafuasi wa dini asilia za Kiafrika.

Tazama piaEdit

Viungo vya njeEdit

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

SerikaliEdit

HabariEdit

MuzikiEdit

OrodhaEdit


Nchi za Afrika  
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira
  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Guinea kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.