Andrea Avellino (Castronuovo di Sant'Andrea, Potenza, 1521Napoli, 10 Novemba 1608), alikuwa padri wa Italia[1] wakati wa Urekebisho wa Kikatoliki akajiunga[2] na aina mpya ya utawa aliyoianzisha Gaetano wa Thiene, maarufu kwa jina la Wateatini, akaieneza zaidi pamoja na kufanya utume[3].

Sanamu yake huko Milano.

Alitangazwa na Papa Urban VIII kuwa mwenye heri tarehe 14 Oktoba 1624, halafu Papa Klementi XI alimtangaza mtakatifu tarehe 22 Mei 1712.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.