Hilari wa Arles
Hilari wa Arles (403 hivi - 449 hivi) alikuwa mmonaki wa monasteri maarufu katika kisiwa cha Lerins iliyoanzishwa na ndugu yake, Honorati wa Arles[1], halafu askofu mkuu wa mji huo kuanzia mwaka 429 hadi kifo chake.
Alikuwa maarufu kwa ufukara wake, kwa kusali, kufunga na kukesha, kwa mahubiri na kwa matendo ya huruma[2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
- ↑ Clugnet, Léon. "St. Honoratus." The Catholic Encyclopedia. Vol. 7. New York: Robert Appleton Company, 1910. 17 Jul. 2013
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/92775
- ↑ During his lifetime Hilary had a great reputation for learning and eloquence as well as for piety; his extant works (Vita S. Honorati Arelatensis episcopi and Metrum in Genesin) compare favourably with any similar literary productions of that period. A poem, De providentia, usually included among the writings of Prosper of Aquitaine, is sometimes attributed to Hilary of Arles.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya njeEdit
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |