Kibla

Muelekeo unaopaswa kuelekea Muislamu anaposwali wakati wa swala

Kibla (kutoka Kiarabu: قبلة qiblah kwa maana ya "mwelekeo") ni neno la kutaja mwelekeo wa sala katika dini ya Uislamu. Mwislamu anatakiwa kusali mara tano kila siku akitazama upande wa Makka.[3]

Mihrabu sahili nchini Misri inayoonyesha kibla.
Ramani ya Dunia inayoonyesha upande wa kibla kutoka pande zote.
Petra: kulingana na mtafiti wa historia ya Kiislamu na akiolojia Dan Gibson, hapa ndipo mahali ambapo Mohammed aliishi ujana wake na kupokea mafunuo yake ya kwanza. Kama Misikiti ya kwanza ya Waislamu na makaburi yanavyoonyesha, pia ulikuwa mwelekeo wa kwanza (kibla) wa Waislamu.[1][2]
Sehemu ya mfululizo wa makala juu ya

Uislamu

Imani na ibada zake

Umoja wa Mungu
Manabii
Misahafu
Malaika
Uteule
Kiyama
Nguzo za Kiislamu
ShahadaSwalaSaumu
HijaZaka

Waislamu muhimu

Muhammad

Abu BakrAli
Ukoo wa Muhammad
Maswahaba wa Muhammad
Mitume na Manabii katika Uislamu

Maandiko na Sheria

Qur'anSunnahHadithi
Wasifu wa Muhammad
Sharia
Elimu ya Sheria za KiislamuKalam

Historia ya Uislamu

Historia
SunniShi'aKharijiyaRashidunUkhalifaMaimamu

Tamaduni za Kiislamu

ShuleMadrasa
TauhidiFalsafaMaadili
Sayansi
SanaaUjenziMiji
KalendaSikukuu
Wanawake
ViongoziSiasa
Uchumi
UmmaItikadi mpyaSufii

Tazama pia

Uislamu na dini nyingine
Hofu ya Uislamu

Misikiti huwa na kidaka kinachoitwa mihrabu kwenye ukuta. Mihrabu inaonyesha upande wa kibla.

Katika historia ya Uislamu kibla ya kwanza ilielekea Yerusalemu. Kilibadilishwa kwa njia ya ufunuo mpya kuelekea Kaaba ya mjini Makka.

Tanbihi hariri

  1. Dan Gibson: Qur'ānic geography: a survey and evaluation of the geographical references in the qurãn with suggested solutions for various problems and issues. Independent Scholars Press, Surrey (BC) 2011, ISBN 978-0-9733642-8-6
  2. https://www.mdpi.com/2077-1444/11/3/102/htm
  3. "KIBLA: MMC Kibla". www.kibla.org. Iliwekwa mnamo 2023-02-26.