Slovakia (kwa Kislovakia: Slovensko) ni nchi ya Ulaya ya Kati yenye wakazi milioni tano na nusu.

Slovenská republika
Jamhuri ya Slovakia
Bendera ya Slovakia Nembo ya Slovakia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Wimbo wa taifa: Nad Tatrou sa blýska
("Radi juu ya milima ya Tatra")
Lokeshen ya Slovakia
Mji mkuu Bratislava
48°09′ N 17°07′ E
Mji mkubwa nchini Bratislava
Lugha rasmi Kislovakia
Serikali Democrasia
Peter Pellegrini
Robert Fico
Uhuru
kutoka Chekoslovakia
tarehe
1 Januari 1993
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
49,037 km² (ya 130)
--
Idadi ya watu
 - 2023 kadirio
 - 2022 sensa
 - Msongamano wa watu
 
5,424,687 (ya 119)
5,460,185
111/km² (ya 104)
Fedha EURO ()
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .sk2
Kodi ya simu +4213

-


Imepakana na Ucheki, Austria, Poland, Ukraine na Hungaria.

Slovakia imekuwa nchi mwanachama wa Umoja wa Ulaya tangu tarehe 1 Mei 2004.

Mji mkubwa na mji mkuu ni Bratislava.

Miji muhimu baada ya Bratislava ni Košice, Banská Bystrica, Žilina, Trenčín, Nitra, Prešov na Trnava.

Wakazi walio wengi wanasema Kislovakia, ambacho ni kati ya lugha za Kislavoni, lakini kieneo kuna pia wasemaji wa Kihungaria, Kibelarus na Kiukraine.

Upande wa dini, 65.8% ni Wakatoliki, 8.9% Waprotestanti. 13.4% wanajitambulisha kama Wakanamungu.

Historia

hariri

Kwa sehemu kubwa ya historia yake hadi mwaka 1918 Slovakia ilikuwa chini ya watawala wa Habsburg waliokuwa wafalme na makaisari wa Austria.

Baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia Slovakia ilipata uhuru pamoja na Ucheki katika nchi ya Chekoslovakia.

Mwaka 1993 Ucheki na Slovakia ziliachana kwa amani na kuwa kila moja nchi ya pekee.

Viungo vya nje

hariri


Nchi za Umoja wa Ulaya  
Austria | Bulgaria | Eire | Estonia | Hispania | Hungaria | Italia | Kroatia | Kupro | Latvia | Lituanya | Luxemburg | Malta | Polandi | Slovakia | Slovenia | Romania | Ubelgiji | Ucheki | Udeni | Ufaransa | Ufini | Ugiriki | Uholanzi | Ujerumani | Ureno | Uswidi
  Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Slovakia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.