Louisiana

jimbo la Marekani

Louisiana (Kiingereza: State of Louisiana, Kifaransa: État de Louisiane) ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Baton Rouge (Kifaransa: banzi nyekundu) na mji mukubwa jimboni New Orleans (Orleans Mpya). Upande wa kusini ni maji ya ghuba ya Meksiko. Imepakana na Arkansas, Mississippi na Texas. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 4,410,796 (2008) wanaokalia eneo la 135,382 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.

Sehemu ya Jimbo la Louisiana








Louisiana

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Baton Rouge
Eneo
 - Jumla 134,264 km²
 - Kavu 112,825 km² 
 - Maji 21,440 km² 
Tovuti:  http://www.louisiana.gov/

Viungo vya Nje hariri

State of Louisiana Official Website

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

  Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Louisiana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.