Idaho ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkubwa na mji mkuu ni Boise. Imepakana na Montana, Utah, Nevada, Oregon, Washington, na British Columbia katika Kanada.

Sehemu ya Jimbo la Idaho








Idaho

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Idaho
Eneo
 - Jumla 216,446 km²
 - Kavu 214,314 km² 
 - Maji 2,131 km² 
Tovuti:  http://www.idaho.gov/

Jimbo lina wakazi wapatao 1,523,816 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 216,632.

Snake River (Mto Nyoka) ni mto mkubwa wa Idaho wenye urefu wa km 1,674.

Viungo vya Nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

  Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Idaho kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.