Wyoming ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu na mji mkubwa ni Cheyenne. Miji muhimu baada ya Cheyenne ni Casper, Laramie na Rock Springs. Imepakana na Montana, South Dakota (Dakota Kusini), Nebraska, Colorado, Utah na Idaho. Jimbo lina wakazi wapatao 532,668 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 253,348.

Wyoming

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Cheyenne
Eneo
 - Jumla 253,336 km²
 - Kavu 251,489 km² 
 - Maji 1,847 km² 
Tovuti:  http://wyoming.gov/

Hifadhi la Taifa hariri

 
Ramani ya Wyoming
 
Grand Teton National Park katika Wyoming

Viungo vya Nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

  Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wyoming kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.