Arizona

jimbo la Marekani

Arizona ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 6,500,180 (2006) wanaokalia eneo la 295,254 km² ambalo sehemu kubwa ni milima na jangwa. Mji mkuu na mji mukubwa jimboni ni Phoenix. Imepakana na Utah, New Mexico (Meksiko Mpya), Mexiko (Sonora na Baja California), California na Nevada. Kuna lugha rasmi 3: Kiingereza (74.1%), Kihispania (19.5%) na Kinavaho (1.9%).

Sehemu ya Jimbo la Arizona








Arizona

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Phoenix
Eneo
 - Jumla 295,254 km²
 - Kavu 294,312 km² 
 - Maji 942 km² 
Tovuti:  http://www.az.gov/

Viungo vya Nje hariri

State of Arizona Official Website

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

  Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Arizona kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.