Alabama

jimbo la Marekani








Alabama ni jimbo la kujitawala la Muungano wa Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Montgomery na mji mkubwa jimboni ni Birmingham. Alabama imepakana na Tennessee, Georgia, Florida na Mississippi. Upande wa kusini ni maji ya Ghuba ya Meksiko. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu mil. 4,661,900 (2008) wanaokalia katika eneo la 135,765 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.

Alabama

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Montgomery
Eneo
 - Jumla 135,765 km²
 - Kavu 131,426 km² 
 - Maji 4,338 km² 
Tovuti:  http://www.alabama.gov/

Tazamia pia hariri

Viungo vya Nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

  Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Alabama kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.